MIKEL ARTETA 'AKIRI' YU NJIANI KUELEKEA MANCHESTER CITY



MIKEL ARTETA 'AKIRI' YU NJIANI KUELEKEA MANCHESTER CITY
Manchester City iko mbioni kushinda vita vya kuwania saini ya kiungo mkongwe wa Arsenal anayeelekea kutundika daluga.

City inataka kumnasa nyota huyo wa Hispania mwenye umri wa miaka 34 ili akawe kocha msaidizi wa Pep Guardiola.

Mara baada ya mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu baina ya Arsenal na Aston Villa, Arteta aliweka wazi kuwa ana ofa tatu mkononi za benchi la ufundi ikiwemo ya kwenda Machester City.
Mikel Arteta (centre)                  pictured looking upset as he leaves the pitch at the                  Emirates on Sunday
Mikel Arteta (katikati) akilia baada ya mchezo wake wa mwisho kwa Arsenal Jumapili iliyopita 
The 34-year-old                  Arsenal midfielder wants to find his first coaching role                  after retiring from playing football
Mikel Arteta akifarijiwa na wachezaji wenzake

Ofa zingine za ukocha usaidizi ambazo Arteta hakutaka kuzitaja zinahusishwa na Arsenal na Tottenham, lakini inaaminika kuwa  tayari City imepiga hatua kubwa mbele katika dili hilo.




Comments