CRISTIANO RONALDO ATOA MTAZAMO WAKE KUHUSU MOURINHO KWENDA MANCHESTER UNITED



CRISTIANO RONALDO ATOA MTAZAMO WAKE KUHUSU MOURINHO KWENDA MANCHESTER UNITED
Ronaldo and Mourinho had a frosty relationship during            their time together at Real Madrid
Cristiano Ronaldo amemkingia kifua kocha mpya ajaye Manchester United Jose Mourunho kwa kusema huyo ndiye mtu sahihi wa kuirejesha klabu hiyo katika enzi za kuzoa mataji.


Mourinho anakuwa kocha mpya wa United kufuatia kutimuliwa kwa Louis van Gaal na licha ya jina la Mourinho kupokelewa kwa hisia tofauti na wachambuzi wa soka, Ronaldo amewatoa shaka mashabiki wa timu yake hiyo ya zamani kwa kusema Mreno mwenzake ndiye mtu sahihi kwa sasa Old Trafford.

Ronaldo aliyetumikia United kwa miaka sita ya mafanikio makubwa, amesema Mourinho ni chaguo bora zaidi.

Manchester United are set to                  announce Jose Mourinho as the club's new manager on                  Thursday
Manchester United inajiandaa kumtangaza Jose Mourinho kama kocha wake mpya
Cristiano Ronaldo hopes the                  Portuguese can help his former side rediscover their                  identity 
Cristiano Ronaldo anatumai kuwa Mourinho ataleta mataji United. 


Comments