BAYERN MUNICH YAIFANYIA KITU MBAYA MAN UNITED KWA KUMSAJILI RENATO SANCHES WA BENFICA


BAYERN MUNICH YAIFANYIA KITU MBAYA MAN UNITED KWA KUMSAJILI RENATO SANCHES WA BENFICA
Manchester United imepigwa kumbo la mwaka baada ya Bayern Munich kumsajili kiungo wa Benfica Renato Sanches ambaye iliaminika anakwenda Old Trafford.

Renato Sanches mwenye umri wa miaka 18, amesaini mkataba wa miaka mitano kuitumikia Bayern Munich katika dili litakalopanda hadi kufikia thamani ya pauni milioni 63.

Hadi mwanzoni mwa wiki hii, Sanchez alikuwa akitwajwa kukamilisha safari ya kujiunga na Manchester United ambayo imekuwa ikimfuatilia kinda huyo kwa msimu mzima, lakini kwa maajabu ya wengi, Bayern Munich ikaibuka ghalfa na kumnyakua kiungo huyo mwenye kipaji cha aina yake.

Bayern Munich have announced                  the signing of Renato Sanches from Benfica for £28m -                  the Portugal international signs a contract  alongside                  chief executive Karl-Heinz Rummenigge
Bayern Munich imetangaza kumsajili Renato Sanches kutoka Benfica kwa pauni milioni 28 - Nyota huyo wa kimataifa wa Ureno amesaini mkataba huo mbele ya mtendaji mkuu wa Beyern Karl-Heinz Rummenigge
Sanches poses for a photo                  with Rummenigge after putting pen to paper on a                  five-year deal
Sanches akipozi na Rummenigge baada ya kusaini mkataba wa miaka mitano
Sanches is put through his                  paces during an official medical with German giants                  Bayern Munich on Tuesday
Sanches akifanya vipimo vya afya Bayern Munich 




Comments