Wakati msimu wa            Premier League umekamilika wiki moja iliyopita, Arsenal tayari            inaangalia mbele kujipanga na msimu ujao kwa kuzindua jezi zao            mpya za uwanja wa nyumbani kwa msimu wa 2016/17. 
        Jezi hizo            zimebuniwa na Puma, iliyosaini mkataba wa miaka mitano na            klabu hiyo utaoipatia Arsenal kitita cha pauni milioni 30 kwa            mwaka.
        (Kutoka kushoto) Santi              Cazorla, Olivier Giroud na Hector Bellerin wakitambulisha              jezi mpya
        Hector Bellerin katika              uzi mpya wa Arsenal
        Giroud naye aking'ara              na uzi mpya
        
Comments
Post a Comment