ARSENAL YAZINDUA JEZI ZAO MPYA ZA MSIMU UJAO


ARSENAL YAZINDUA JEZI ZAO MPYA ZA MSIMU UJAO
Wakati msimu wa Premier League umekamilika wiki moja iliyopita, Arsenal tayari inaangalia mbele kujipanga na msimu ujao kwa kuzindua jezi zao mpya za uwanja wa nyumbani kwa msimu wa 2016/17. 

Jezi hizo zimebuniwa na Puma, iliyosaini mkataba wa miaka mitano na klabu hiyo utaoipatia Arsenal kitita cha pauni milioni 30 kwa mwaka.
(From left) Santi Cazorla,                  Olivier Giroud and Hector Bellerin model the new kit                  ahead of the 2016-17 Premier League season
(Kutoka kushoto) Santi Cazorla, Olivier Giroud na Hector Bellerin wakitambulisha jezi mpya
Bellerin shows off the new                  ensemble which was designed by Puma as the Gunners begin                  to look ahead to the new campaign
Hector Bellerin katika uzi mpya wa Arsenal
France international Giroud                  was delighted with the creation and praised the work of                  Puma's design team following the kit launch
Giroud naye aking'ara na uzi mpya


Comments