ROONEY MWANAMICHEZO TAJIRI ZAIDI UINGEREZA ...GARETH BALE, FALCAO, AGUREO, HAZARD NA FABREGAS NAO WAMO
Kwa mujibu wa gazeti la Sunday Times la England Wayne Rooney, ndiye mwanasoka kijana tajiri            zaidi Uingereza kwa mwaka 2016.
        Rooney mwenye umri wa miaka 30            ambaye ni nahodha wa Manchester United na timu ya taifa ya            England ameingiza faida ya pauni milioni 82, ikiwa ni ongezeko            la pauni milioni 10 kutoka mwaka uliopita na hivyo kuwa            mwanamichezo aliyeingiza mkwanja mrefu zaidi kwa wanamichezo            wenye umri chini ya miaka 30.
        Nyota huyo ameingiza pesa hizo            kutokana na mshahara wake wa pauni 300,000 kwa wiki anaolipwa            Manchester United sambamba na mikataba ya biashara kupitia            Nike na Sumsung.
        Rooney anaongoza orodha hiyo            inayojumuisha wanamichezo wa Uingereza popote pale duniani            pamoja na wale kigeni lakini waonafanya kazi zao ndani ya            Uingereza.
        Nyota wa tenis Andy Murray anashika nafasi ya pili kwa              kuingiza pauni 58 akiwa amefungana na mkali mwingine wa              tenis  Jamie Murray.
        Katika orodha hiyo, wako wanasoka Gareth              Bale, Samir Nasir, Falcao, Eden Hazard, Cesc Fabregas na              Sergio Aguero.
        Wayne Rooney ndiye mwanamichezo tajiri              zaidi Uingereza
        Nyota wa tenis Andy Murray anashika namba              mbili
        Mkali wa golf Rory McIlroy saw his wealth              increase by £18m over the past year to make a total of £56m
          KWA              MUJIBU WA SUNDAY TIMES HAWA NDIO WANAMICHEZO VIJANA              MATAJIRI ZAIDI UINGEREZA KWA MWAKA 2016
          1 Wayne              Rooney               Football, Manchester United £82 
          2  Andy              and Jamie Murray  Tennis               £58m               
          3  Rory              McIlroy  Golf               £56m 
          4  Gareth              Bale  Football,              Real Madrid  £34m
          5  Sergio              Aguero  Football,              Manchester City  £33m 
          6  David              Silva  Football,              Manchester City  £31m               
          7=  Cesc              Fabregas  Football,              Chelsea  £29m               
          7=  Radamel              Falcao  Football,              Chelsea  £29m
          9  Samir              Nasri  Football,              Manchester City  £22m 
          10=  Eden              Hazard  Football,              Chelsea  £18m               
          10=  Amir              Khan  Boxing               £18m               
          
Comments
Post a Comment