RIYAD MAHREZ ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA ENGLAD 2016



RIYAD MAHREZ ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA ENGLAD 2016
Mwanasoka nyota wa Leicester City Riyad Mahrez ametwaa tuzo ya mwanasoka bora (PFA Player) wa mwaka 2016.

Mahrez amekuwa na msimu mzuri akiisaidia timu yake kung'ang'ania kileleni mwa Premier League baada ya kuifungia magoli  17 na kupika magoli 11.

Mchezaji huyu wa kimataifa wa Algeira ametwaa tuzo hiyo ambayo msimu uliopita ilikwenda kwa Eden Hazard wa Chelsea.

Mahrez ametoa shukrani kwa wachezaji wenzake wa Leicester City huku akisema bila wao yeye si lolote.

Leicester City star Riyad                  Mahrez has been named as the 2016 PFA Player of the Year                  award after a glorious campaign
Nyota wa Leicester City  Riyad Mahrez akipozi na tuzo yake 
Mahrez poses with the PFA                  Player of the Year alongside Leicester City manager                  Claudio Ranieri (left)
Mahrez katika picha ya pamoja na kocha wa Leicester City  Claudio Ranieri (kushoto)
Mahrez said he was                    'grateful' for the award adding that it was a                    'pleasure' after collecting the prestigious gong
Mahrez akishuruku wachezaji wenzake



Comments