Mwanasoka nyota wa            Leicester City Riyad Mahrez ametwaa tuzo ya mwanasoka bora (PFA            Player) wa mwaka 2016.
        Mahrez amekuwa na            msimu mzuri akiisaidia timu yake kung'ang'ania kileleni mwa            Premier League baada ya kuifungia magoli  17 na kupika magoli            11.
        Mchezaji huyu wa            kimataifa wa Algeira ametwaa tuzo hiyo ambayo msimu uliopita            ilikwenda kwa Eden Hazard wa Chelsea.
        Mahrez ametoa            shukrani kwa wachezaji wenzake wa Leicester City huku akisema bila wao yeye            si lolote.
        Nyota wa Leicester City               Riyad Mahrez akipozi na tuzo yake 
        Mahrez katika picha ya              pamoja na kocha wa Leicester City  Claudio Ranieri (kushoto)
        Mahrez akishuruku              wachezaji wenzake
          
Comments
Post a Comment