Msiba wa mwanamuziki Ndanda            Kosovo aliyefariki Jumamosi asubuhi, umeendelea kuteka hisia            za watu wengi.
        Ndanda anazikiwa Jumatano hii            saa 9 mchana kwenye makaburi ya Kinondoni (Mwembejini)            walikozikwa mastaa wengine kama Steven Kanumba, Adam            Kuambiana, Martin Kasyanju na wengine wengi.
        Watu wamekuwa wakiwasili kila            wakati kwenye eneo la msiba Kinondoni Hananasif kwenye nyumba            ya balozi wa Congo (DRC).
        Ratiba kamili ya kamili ya mazishi ya              Ndanda ni kama hivi:
        Jumatano (13-APR-2016) saa              1 Asubuhi: Kwenda kuchukua mwili Muhimbili Hospital 
        Saa 4 asubuhi: Mwili kuwasili Kinondoni            msibani. 
        Saa 6 Mchana: Chakula
        Saa 7 mchana: Kuaga Mwili 
        Saa 9 mchana: Makaburini (Kinondoni)
        Wageni wa heshima              wanaotarajiwa kuhudhuria mazishi ni: Mkuu wa Mkoa wa Dar es            Salaam Paul Makonda, Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo Mh.            Nape Nnauye, balozi wa Congo nchini Jean Pierre Mutamba na            maafisa wote wote wa ubalozi wa Congo DRC.
        PATA PICHA 18 ZA            WATU WALIOKUWEPO MSIBANI JUMANNE USIKU
                 Asha            Baraka na Juma Mbizo
                 Meneja wa            Twanga Pepeta Hassan Rehani (kushoto) akiwa na Khamis Dacota            wa Clouds FM
                 Kutoka            kushoto ni Pablo Masai, Doyi Moke na Joniko Flower
                 Marapa G7             wa FM Academia na kulia ni Mirinda Nyeusi wa Mashujaa Band
                 Kutoka            kushoto ni Mirinda Nyeusi, Hassan Rehani na Haji BSS
                 Jose Mara            na Asha Baraka
                 Baadhi ya            waombolezaji wa kike waliofika msibani Jumanne usiku
                 Wanenguaji            wa FM Academia
                  Mwimbaji            wa FM Academia Malu Stonch ambaye aliingia Tanzania pamoja na            marehemu Ndanda
                 Kutoka            kushoto ni Totoo ze Bingwa, Jose Mara, Juma Mbizo na Richard            Mangustino
                 Mahema            yalivyokuwa yakitayarishwa
                 Mule Mule            FBI
                 Kushoto            ni Pishuu Meshaa akiwa na Steve
                 Kushoto            ni rapa Sauti ya Radi
                 Comedian            Steve Nyerere
                 Mtangazaji            wa Chanel Ten Sunday Mwakanosya
                 Wadau
                Baadhi ya waombolezaji
        


















Comments
Post a Comment