MOURINHO KUTUA OLD TRAFFORD NA NYOTA KIBAO


MOURINHO KUTUA OLD TRAFFORD NA NYOTA KIBAO
Mourinho looked            subdued at times, but was on hand to pose with the champion            after he was handed his belt
Joto la Mourinho kutua Manchester United bado lipo na sasa inadaiwa kocha huyo mtata, amepanga kutua Old Trafford na kusajili angalau wachezaji wapya watano katika kikosi.

Kwa mujibu wa mtandao wa ESPN, straika Harry Kane wa Tottenham Hotspur na beki wa kati wa Everton anayemudu pia beki ya kulia, John Stones wako juu ya orodha ya Mourinho, lakini pia ameelezea kuthibitisha kutaka kumsainisha Zlatan Ibrahimovic.

Kiungo wa Benfica, Renato Sanches pia anatarajiwa kujiunga na United kiangazi hiki, licha ya kutakiwa na Arsenal.


Comments