MANCHESTER CITY YAFANYA MAUAJI ... YAIBABUA STOKE CITY 4-0



MANCHESTER CITY YAFANYA MAUAJI ... YAIBABUA STOKE CITY 4-0
Manchester City imefanya mauaji kwenye Premier League baada ya kuicharaza Stoke City 4-0 ndani ya Etihad Stadium.

Ushindi huo unachagiza ari ya timu hiyo kuelekea kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Jumanne ijayo dhidi ya Real Madrid.

Lakini pia ushindi huo unafanya vita vya timu zinazosaka nafasi ya Top Four kwenye Premier League kuwa kali.

Magoli ya Manchester City yalifungwa na Fernando, Sergio Aguero aliyefunga kwa mkwaju wa penalti na Iheanacho kinda wa Kinigeria aliyetikisa nyavu mara mbili.

Manchester City (4-4-2): Hart 7; Zabaleta 6.5, Mangala 6.5, Otamendi 7, Kolarov 6; Navas 7, Toure 6.5, Fernando 7 (Demichelis 72, 6), Silva 6.5 (Delph 57, 6.5); Iheanacho 8, Aguero 7 (Bony 65, 6.5) 

Stoke (4-2-3-1): Given 5.5 (Haugaard 46, 5); Bardsley 6, Shawcross 5, Wollscheid 5, Muniesa 5.5; Whelan 6, Cameron 5.5; Diouf 6, Imbula 6.5, Arnautovic 7 (Adam 76, 6); Joselu 4.5
Fernando rises above the Stoke defence to head home                  a Jesus Navas corner and put Manchester City on course                  for an easy victory




Comments