Liverpool imepoteza            mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Europa League baada ya            kufungwa 1-0 na Villarreal ya            Hispania iliyokuwa mwenyeji wa mchezo huo.
        Bao la Villarreal lilikuja katika dakika ya mwisho            ya mchezo kupitia kwa Adrian            Lopez.
        Katika nusu fainali            nyingine, Shakhtar Donetsk  na Sevilla zatoka zilitoka suluhu            ya 2-2.
        Wachezaji wa Villarreal              wakipata wazimu wa kushangilia baada ya Adrian Lopez kufunga              goli pekee katika dakika ya mwisho ya mchezo
        Adrian akishangilia bap              lake
        James Milner na              Christian Benteke wakiwa hoi kwenye dimba la kati
        Kocha wa Villarrea               Marcelino naye akiwa na mzuka wa ushindi
          
Comments
Post a Comment