Kauli ya Kwanza ya Mkurugenzi wa TFF Baada ya Mchezo wa          Yanga na Coastal Union Kuvunjika Jana...                        Baada ya mchezo huo kuvunjika uliyokuwa unarushwa Live kupitia        Azam Tv, ripota wa Azam Tv alifanya mahojiano mafupi ya Live        kutoka katika uwanja wa Mkwakwani Tanga na kaimu mkurugenzi wa        mashindano wa TFF Jemedali Said ilikujua mambo yatakuwaje mchezo        utarudiwa au inakuwaje?                
"Kiukweli mchezo umevunjika lakini haya          mashindano yanaendeshwa kwa kanuni na taratibu ila sisi          tunasubiri ripoti ya muamuzi na kamisaa wa mchezo ili tuweze          kufanya maamuzi" Alisema Jemedali Said
                                         
 
Comments
Post a Comment