ACHANA KABISA NA REAL MADRID, YAIBUGIZA WOLFSBURG 3-0 NA KUTINGA NUSU FAINALI CHAMPIONS LEAGUE ...RONALDO BALAAA
Cristiano            Ronaldo amefunga katika dakika ya 16, 17 na 77 na kuipatia            Real Madrid ushindi wa 3-0 dhidi ya Wolfsburg ya Ujerumani            kwenye mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa            Ulaya.
        Ushindi            huo unaivusha Real Madrid hadi hatua ya nusu fainali kwa jumla            ya bao 3-2.
        Katika            mchezo wa kwanza uliofanyika Ujerumani wiki iliyopita, Wolfsburg ilishinda            2-0.
        
Comments
Post a Comment