MANCHESTER CITY YAORODHESHA NYOTA INAOTAKA KUWASAJILI CHINI YA PEP GUARDIOLA



MANCHESTER CITY YAORODHESHA NYOTA INAOTAKA KUWASAJILI CHINI YA PEP GUARDIOLA

Manchester City imehusishwa na nyota kibao inaotaka kuwasajili katika ujio wa kocha mpya  Pep Guardiola Julai 1.

Mchambuzi wa soka Jamie Carragher anaamini City wanahitaji kati ya wachezaji saba hadi nane ingawa inaaminika klabu hiyo inataka kusajili wachezaji wanne tu. 

Tangu Manchester City ilipotangaza kuwa Guardiola atakuwa mrithi wa Manuel Pellegrini kiangazi hiki, klabu imeporomoka kutoka kwenye mbio za ubingwa hadi kuwania nafasi ya kuwepo kwenye 'top four'.

Kuanzia kipindi hicho, City imeokota pointi nne tu kati ya 18 ilizostahili kupata kwenye Premier League.

Manchester City inategemewa kufanya usajili wa kishindo miongoni mwa wachezaji hawa wafuatao:

JULIAN WEIGL (Borussia Dortmund)
Julian Weigl (right) put                      in another assured performance at the base of                      Dortmund's midfield against Tottenham

BEN CHILWELL (Leicester City)
Leicester left back Ben                      Chilwell is highly regarded and is attracting                      interest from Arsenal and Liverpool too

AYMERIC LAPORTE (Atheltic Bilbao) 
Athletic Bilbao defender                      Aymeric Laporte, 21, would cost Manchester City                      around £39million

JOHN STONES (Everton)
England defender John                      Stones is out of favour at Everton at the moment                      after a difficult period of form

SERGIO BUSQUETS (Barcelona)
Barcelona midfielder                      Sergio Busquets could be open to a move if he is not                      offered the desired contract


PAUL POGBA (Juventus)
The Juventus midfielder                      is one of the most sought-after players in Europe                      and will have his pick of clubs

THIAGO ALCANTARA (Bayern)
Thiago Alcantara is a                      typical Guardiola player and might be willing to                      follow him to City as he did Bayern

GODFRED DONSAH (Bologna)
Bologna's 19-year-old                      midfielder Godfred Donsah (left) is a raw talent but                      has a bright future

AMADOU DIAWARA (Bologna)
Bologna midfielder                      Amadou Diawara has plenty of admirers including                      Arsenal and Chelsea


YOURI TIELEMANS (Anderlecht)
Anderlecht midfielder                      Youri Tielemans, 18, is one of Belgium's brightest                      prospects

RIECHEDLY BAZOER (Ajax)
Ajax midfielder                      Riechedly Bazoer has already been capped by Holland                      and Chelsea are also interested
DENNIS PRAET (Anderlecht)
Belgium international                      Dennis Praet, 21, is a playmaker with bags of                      ability

OUSMANE DEMBELE (Rennes)
Ousmane Dembele (left),                      18, has enjoyed a breakthrough season with Rennes                      scoring 10 league goals

ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN (Arsenal)
Alex                      Oxlade-Chamberlain's future is up in the air but                      City have concerns over his injury problems

INAKI WILLIAMS (Athletic Bilbao)
Inaki Williams has                      plenty of pace his versatility to play across the                      front makes him an attractive option

ALVARO MORATA (Juventus)
Alvaro Morata could be                    reluctant to play second fiddle to City's main man                    Sergio Aguero








Comments