MACHESTER UNITED YAITUMBUA MANCHESTER CITY ...nyota ya kinda Marcus Rashford yazidi kung'ara, aweka historia mpya Manchester



MACHESTER UNITED YAITUMBUA MANCHESTER CITY ...nyota ya kinda Marcus Rashford yazidi kung'ara, aweka historia mpya Manchester
But            then came the sucker punch as Rashford broke through on goal,            passing Martin Demichelis before finishing past Joe Hart

Kinda wa miaka 18 na siku 141, Marcus Rashford anakuwa mchezaji kijana zaidi kufunga katika historia ya mechi za watani wa jiji la Manchester - Manchester United na Manchester City.

Akicheza soka la hali ya juu, dakika ya 16 Marcus Rashford  akaifungia Manchester United bao pekee liliowapa ushindi wa 1-0 vijana wa Louis van Gaal dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa Etihad Stadium.

Rashford ambaye hili linakuwa ni bao lake la tano katika mechi nane alizocheza, alipita beki mkongwe Martin Demichelis na kumchambua kipa Joe Hart.

Ushindi huu unaweka hai matumaini ya Manchester United kumaliza kwenye 'top four' huku nafasi ya Manchester City kuwania ubingwa ikiyoyoma kizani.

Manchester United (4-2-3-1): Hart (Caballero 50mins); Sagna, Demichelis (Bony 53), Mangala, Clichy; Toure, Fernandinho; Navas, Silva, Sterling (Fernando 26); Aguero.

Manchester United (4-2-3-1): De Gea; Darmian (Fosu-Mensah 84), Smalling, Blind, Rojo (Valencia 62); Carrick, Schneiderlin; Lingard, Mata (Schweinsteiger 70), Martial; Rashford.
Rashford's impact for United                  has been brilliant since he broke into the first team                  last month, and he was celebrating again in the derby
Rashford shujaa mpya wa Manchester United
Centre forward Rashford now                  has five goals in his eight first-team games for United,                  and is this derby's youngest Premier League scorer
Rashford sasa ana mabao matano katika mechi nane alizocheza
Sir Alex Ferguson (second                    left) was one of the United-supporting spectators who                    would have been delighted by their strong start
Sir Alex Ferguson (wa pili kushoto) akiwa uwanjani
Mwenyekiti wa Manchester City' Khaldoon Al Mubarak (kulia) akisalimiana na mtendaji wa Manchester United Ed Woodward 
Marouane Fellaini was on                    the bench for United after his ineffective performance                    against Liverpool and the midfielder was not called                    upon
Marouane Fellaini leo aliishia benchi
But then came the sucker                    punch as Rashford broke through on goal, passing                    Martin Demichelis before finishing past Joe Hart
 Rashford akimtungua Joe Hart
Fernandinho, Eliaquim                    Mangala and Raheem Sterling make their way back                    towards the half-way line dejected after conceding
Fernandinho, Eliaquim Mangala Raheem Sterling hoi
United goalkeeper David de                    Gea showed his delight following Rashford's goal at                    the opposite end of the field after 16 minutes
 David de Gea anashangilia bao Rashford


Comments