Jurgen Klopp anakumbana na mechi inayobeba hisia kubwa pale Liverpool itakapoikabili Borussia Dortmund kwenye hatua ya robo fainali ya Europa League.
Klopp aliifundisha Borussia Dortmund kwa miaka saba kabla haiajacha mwaka 2015 na baadae kujiunga na Liverpool.
Liverpool iliyoing'oa Manchester United Alhamisi usiku, sasa itaanza kampeni yake ya kusaka tiketi ya nusu fainali kwa kuifuata Dortmund April 7 kabla ya kurudiania Anfield April 14.
Jurgen Klopp kukumbana na timu yake ya zamani
Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund goli dhidi ya Tottenham Alhamisi
Liverpool itamenyana na Borussia Dortmund April 7 na kurudiana April 14
Comments
Post a Comment