JOE HART NA STERLING PIGO KWA MANCHESTER CITY NA ENGLAND


JOE HART NA STERLING PIGO KWA MANCHESTER CITY NA ENGLAND
Hart            covers his face as he is carried from the pitch on a stretcher            early in the second period
Joe Hart na Raheem Sterling watakosa mechi za kirafiki za England dhidi ya Germany na Holland baada ya nyota hao wawili wa Manchester  Citykuumia na kutolewa katika mchezo wao na Manchester United.

Kipa huyo wa Manchester City aliumia mguu wake wa kulia katika harakati za kumuwahi Anthony Martial asifunge baada ya pasi mbovu ya nyuma kutoka kwa beki Martin Demichelis.

Sterling alitolewa kipindi cha kwanza baada ya kugongana na Juan Mata.
Manchester City goalkeeper Joe Hart slides in to                  beat Anthony Martial to the ball in the second half
Kipa wa Manchester City Joe Hart katika tukio lililomletea majanga
Raheem                      Sterling grimaces in pain as he holds his groin in                      his side's 1-0 defeat by Manchester United
Raheem Sterling akigaragara chini
Hart speaks                      to Gael Clichy as he sits on the Etihad turf                      clutching his right calf after the incident
Hart akiongea na Gael Clichy baada ya kuumia mguu
Sterling went off in the                    first half after suffering the injury following a                    tackle from Juan Mata (right)
Sterling aliumia baada ya kuvaana na Juan Mata
England No 1 Hart is                    helped onto a stretcher early in the second half of                    Sunday's Manchester derby
England No 1 Hart akitolewa dimbani kwa macheza

Kwa mujibu wa kocha wa City,  Manuel Pellegrini nyota hao watakuwa nje kwa mwezi mmoja na kutia doa maandalizi wa Timu ya Taifa kwaajili ya Euro 2016, ambapo England itajipima nguvu na Ujerumani huko Berlin Jumamosi ijayo kabla ya kurejea  Wembley kuikabili Holland siku tatu baadae. 



Comments