BAADA YA KUCHEZA DAKIKA 210 BILA MAGOLI, MATUTA YAIVUSHA ATLETICO MADRID CHAMPIONS LEAGUE DHIDI YA PSV




BAADA YA KUCHEZA DAKIKA 210 BILA MAGOLI, MATUTA YAIVUSHA ATLETICO MADRID CHAMPIONS LEAGUE DHIDI YA PSV

Atletico Madrid imetoa PSV Eindhoven kwa mikwaju ya penalti 8-7 na kupata tiketi ya kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa.


Hatua hiyo ya mikwaju ya penalti imekuja baada ya timu hizo kucheza jumla ya dakika 210 bila mshindi - mchezo wa kwanza walitoka sare ya 0-0 na mchezo wa Jumanne usiku nao ukamalizika kwa sare kama hiyo na kulazimika kuongezewa dakika 30 ambazo nazo hazikubadili sura ya mchezo.

 Hivi ndivyo mikwaju ya penati ilivyokwenda



Comments