BOSI WA INTER MILAN AFICHUA: MOURINHO KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED


BOSI WA INTER MILAN AFICHUA: MOURINHO KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED
Jose Mourinho atakuwa kocha mpya wa Manchester United msimu ujao akimrithi Louis van Gaal, rafiki wa kocha huyo wa Kireno amethibitisha hilo.

Mkurugenzi wa Inter Milan, Bedy Moratti ambaye ni dada wa rais wa zamani wa klabu hiyo, Massimo Moratti amefichua habari hizo baada ya kupata mlo wa mchana na Mourinho siku ya Jumamosi katika jiji la Milan. 

Alipoulizwa kama Mourinho atarejea Inter Milan, akajibu: " Hapana, yuko na furaha sasa, anakwenda Manchester United. 
Jose Mourinho was the centre                  of attention at Inter Milan as speculation about                  Manchester United heats up
Jose Mourinho ndani ya Inter Milan 
Kocha wa zamani wa Chelsea kwa sasa yuko huru baada ya kutimuliwa Stamford Bridge mwezi Disemba
Mourinho poses for a selfie                  on his arrival at the San Siro for Saturday night's game                  against Sampdoria
Mourinho akiachia watu wajipigie 'selfie' ndani ya San Siro Jumamosi wakati alipoenda kuishuhudia timu yake ya zamani ikimenyana na Sampdoria
Inter Milan director Bedy                  Moratti has claimed that Jose Mourinho is on his way to                  Manchester
Mkurugenzi wa Inter Milan  Bedy Moratti amefichua kuwa Jose Mourinho anakwenda Manchester United



Comments