ARSENAL YABANWA MBAVU NA HULL CITY FA CUP




ARSENAL YABANWA MBAVU NA HULL CITY FA CUP
Centre back Laurent Koscielny (left) controls the ball            for the Gunners under pursuit from Hull City's Adama Diomande

Arsenal imshindwa kufurukuta mbele ya Hull City katika mchezo wa FA Cup mzunguko wa tano na kulazimishwa sare ya 0-0 Emirates Stadium.

Kufuatia sare hiyo, timu hizo sasa zitalazimika kurudiana na iwapo Arsenal inahitaji kusonga mbele, ni lazima ipate ushindi wa aina yeyote ule.

Arsenal (4-2-3-1): Ospina; Chambers, Mertesacker, Koscielny, Gibbs; Flamini, Elneny; Campbell (Giroud 67), Iwobi (Oxlade-Chamberlain 73), Welbeck (Sanchez 67); Walcott

Hull (4-5-1): Jakupovic; Maguire, Bruce, Davies, Tymon (Odubajo 55); Elmohamady, Powell (Aluko 77), Maloney, Taylor (Huddlestone 55), Meyler; Diomande




Comments