Arsenal imshindwa            kufurukuta mbele ya Hull City katika mchezo wa FA Cup mzunguko            wa tano na kulazimishwa sare ya 0-0 Emirates Stadium.
        Kufuatia sare hiyo,            timu hizo sasa zitalazimika kurudiana na iwapo Arsenal            inahitaji kusonga mbele, ni lazima ipate ushindi wa aina            yeyote ule.
        Arsenal              (4-2-3-1): Ospina; Chambers, Mertesacker, Koscielny,            Gibbs; Flamini, Elneny; Campbell (Giroud 67), Iwobi            (Oxlade-Chamberlain 73), Welbeck (Sanchez 67); Walcott
        Hull (4-5-1): Jakupovic;            Maguire, Bruce, Davies, Tymon (Odubajo 55); Elmohamady, Powell            (Aluko 77), Maloney, Taylor (Huddlestone 55), Meyler; Diomande
        
Comments
Post a Comment