WENGER ASEMA ALEXIS SANCHEZ KUREJEA UWANJANI NI MPAKA MWEZI JANUARI


WENGER ASEMA ALEXIS SANCHEZ KUREJEA UWANJANI NI MPAKA MWEZI JANUARI
Alexis Sanchez amepata kikwazo cha kurejea uwanjani wakati akielekea kupona maumivu yake ya msuli wa paja na sasa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amesema nyota huyo atarejea kikosini mwezi Januari. 

Mshambuliaji huyo ambaye aliumia katika mchezo wa sare ya 1-1 dhidi ya Norwich mwezi uliopita, alitarajiwa kuwa kwenye kikosi cha Arsenal kilichoichapa Manchester City 2-1 Jumatatu usiku, lakini sasa mambo yamwekwenda kombo kwake.

Baada ya mchezo huo wa Premier League dhidi ya City, Wemger alisema: "Nadhani Sanchez atarejea uwanjani Januari 10. Amepata vikwazo kidogo siku mbili zilizopita. Tulitarajia angekuwa kwenye benchi leo (jana) usiku".
Arsenal's Alexis Sanchez                  (pictured centre during the win over Manchester City)                  has suffered an injury setback
Alexis Sanchez (pichani katikati) akifuatilia mchezo wa Arsenal na Manchester City
The Gunners                    forward picked up a hamstring injury in Arsenal's 1-1                    draw away at Norwich last month
Sanchez aliumia msuli wa paja katika mechi ya  forward 1-1 dhidi ya Norwich mwezi uliopita
Wenger had                    hoped Sanchez would be involved against Man City but                    confirmed he will not be back until January
Wenger alikuwa na matumaini kuwa  Sanchez angecheza dhidi ya Man City Jumatatu usiku lakini sasa mshambuliaji huyo atarejea uwanjani mwezi Januari
Sanchez has                    made 20 appearances for the north London club this                    season, finding the net nine times
Sanchez ameichezea Arsenal mechi 20 msimu huu na kufunga magoli 9


Comments