WACHEZAJI WAANDAMIZI WA MANCHESTER UNITED WAMSHUKIA VAN GAAL, WAHOJI MBINU ZAKE



WACHEZAJI WAANDAMIZI WA MANCHESTER UNITED WAMSHUKIA VAN GAAL, WAHOJI MBINU ZAKE
Louis van Gaal alifanya mazungumzo yaliyojaa mgogoro na wachezaji waandamizi wa Manchester United kufuatia kipigo cha Jumamosi iliyopita cha bao 2-1 dhidi ya Norwich City kwenye uwanja wa Old Trafford.

Nahodha wa United  Wayne Rooney, Michael Carrick, Chris Smalling na Juan Mata walikuwa ni miongoni mwa wachezaji wenye sauti waliofanya maongezi na kocha huyo Mdachi.

Miongoni mwa mambo yaliyoongelewa ni pamoja na mbinu za kocha huyo sambamba na ugumu wa mazoezi ambao wanaamini ndiyo unaopelekea wimbi la majeruhi klabuni.

Vaa Gaal pia anakumbuna na changamoto kutoka kwa wachezaji Kihispania Mata na Ander Herrera, ambao wanahofia kuua viwango kuporomoka na kupoteza nafasi zao kwenye kikosi cha timu ya taifa kuelekea Euro 2016.
Manchester United captain                  Wayne Rooney was vocal in discussions with manager Louis                  van Gaal
Manchester United captain Wayne Rooney was vocal in discussions with manager Louis van Gaal
Manager Van Gaal is under                  pressure following a poor run of form, with his side                  winless in over a month
Manager Van Gaal is under pressure following a poor run of form, with his side winless in over a month
Rooney and his team-mates                  took part in a full and frank discussion with the                  Dutchman after the latest defeat
Rooney na wachezaji wenzake wameamua kumshukia Van Gaal
Wachezaji wa Manchester United wanaamini wimbi la majeruhi linasababishwa na mazoezi magumu yaliyopitiliza kutoka kwa Van Gaal




Comments