WACHEZAJI WA MANCHESTER UNITED WALIVYOTINGA MAZOEZINI NA MAGARI YAO YA KIFAHARI 'KUAGANA' NA VAN GAAL



WACHEZAJI WA MANCHESTER UNITED WALIVYOTINGA MAZOEZINI NA MAGARI YAO YA KIFAHARI 'KUAGANA' NA VAN GAAL

Wakiwa na nyuso za huzuni kufuatia kipigo chao cha wikiendi iliyopita cha bao 2-1 kutoka kwa Norwich City, wachezaji wa Manchester United waliwasili mazoezini Jumatatu huku ikiaminika kuwa siku za kocha Louis van Gaal zinahesabika.

Kocha huyo ambaye duru za michezo zinaamini kuwa atatimuliwa kabla ya mwaka mpya, anatarajiwa kurithiwa na Jose Mourinho aliyefukuzwa Chelsea.

Mastaa wa United waliozomewa Jumamosi baada ya mchezo wa Norwich, wakatinga mazoezini ma magari yao ya kifahari lakini wakiwa na sintofahamu juu Van Gaal ambaye amekuwa akishutumiwa kwa falsafa zake.

Gazeti la The Sun la Uingereza limeandika kuwa kuna tetesi kwamba Mourinho amefanya mazungumzo na Manchester United na sasa kinachosubiriwa ni matajiri wa familia ya Glaizer inayomiliki United kutoa tamko la kumtema Van Gaal.

Je mazoezi ya wachezaji wa Manchester United wiki hii yatakuwa ndio ya kuagana na Van Gaal au ni uzushi mtupu? Ni jambo la kusubiri.
Memphis Depay arrives for                  training on Monday morning in his deluxe                  four-wheel-drive with personalised M7 headrests 
Memphis Depay akitinga na Mercedes G-Class yenye thamani ya pauni 87,795 ambayo kwenye viegemeo vya kichwa imeandikwa M7 kumaanisha jina lake na namba ya jezi yake
Defender Chris Smalling                  rolls into Carrington in his sporty Bentley following                  United's 2-1 defeat by Norwich on Saturday
Chris Smalling
Marouane Fellaini, who                  started before being replaced on the hour at the                  weekend, is driven into the training ground in a                  Mercedes Marouane Fellaini
United captain Wayne Rooney                  drives his Range Rover Overfinch, worth about £100,000,                  into the AON Training Complex Wayne Rooney na Range Rover Overfinch yenye thamani ya pauni 100,000
Blind, whose played in all but two of                        United's matches this season, is behind the wheel                        of a German-made Audi Quattro
Blind akiwasili na Audi Quattro
Young drives a convertible Bentley but the                        weather, much like the mood, in Carrington is too                        grim to have the soft-top down 
Ashley Young 
Louis van Gaal goes into United's Boxing Day                        clash with Stoke City under immense pressure -                        should he keep his job until then
Louis van Gaal safari ya kuondoka United inanukia



Comments