SIMBA BADO HALI SIYO NZURI, MATOKEO YOTE YA VPL YAKO HIVI LEO



SIMBA BADO HALI SIYO NZURI, MATOKEO YOTE YA VPL YAKO HIVI LEO

vpl

Michuano ya ligi kuu Tanzania bara iliendelea tena leo December 26, 2015 kwa michezo kadhaa kupigwa kwenye viwanja vya miji tofauti ya Tanzania bara na kushuhudia matokeo tofauti katika viwanja hivyo kwa baadhi ya timu kuibuka na pointi tatu huku zingine zikishindwa kabisa kutamba na baadhi ya mechi kumalizika kwa timu kugawana pointi.

Haya ni ni matokeo ya mechi zote ambazo zimepigwa leo siku ya Boxing Day.

Mwadui FC 1-1 Simba 

Ndanda FC 1 – 3 JKT Ruvu 

Coastal Union 1 – 3 Stand United 

Maji Maji FC 0 – 2 Prisons

Mtibwa Sugar 3-0 Mgambo JKT



Comments