Real Madrid            imeiangushia Rayo Vallecano kipigo cha mbwa mwizi baada ya            kuibugiza bao 10-2 katika mchezo wa La Liga uliochezwa            Jumapili kwenye uwanja wa Santiago Bernabeu. 
        Gareth Bale            akafunga mara nne huku Karim              Benzema mara tatu na Cristiano Ronaldo akitupia mpira wavuni              mara mbili.
        Bao              lingine la Real Madrid lilifungwa na Danilo              wakati magoli ya Rayo Vallecano, iliyopoteza            wachezaji wawili kwa kadi nyekundu yalifungwa na Amaya na            Jozabed.
        Real Madrid: Navas,            Danilo, Pepe, Ramos, Marcelo (Vazquez 62), Kroos, Modric,            Rodriguez (Kovavic 65), Ronaldo, Benzema, Bale (Arbeloa 74).
        Subs not used: Casilla, Nacho,            Casemiro, Isco.
        Wafungaji: Danilo 3,            Bale 25, 41, 61, 70, Ronaldo 30, 53, Benzema 48, 79, 90
        Rayo Vallecano: Yoel,            Tito, Ze Castro (Cabellero 80), Amaya, Nacho, Baena,            Trashorras, Bangoura (Bebe 63), Jozabed, Pablo Hernandez            (Quini 21), Javi Guerra.
        Subs not used: Corral, Dorado,            Manucho, Embarba.
        Wafungaji: Amaya            10, Jozabed 12
        Bale (kushoto) akifunga              bao lake la nne dakika ya 70 
           Cristiano                Ronaldo naye alikuwemo kwenye orodha ya wafungaji
          Bale akifanya                matokeo yasomeke 4-2
          Bale                anashangilia
            Ronaldo                  (katikati) akiifungia Real Madrid goli la sita dakika ya                  53
              
Comments
Post a Comment