PEP GUARDIOLA ASEMA ANAONDOKA BAYERN MSIMU HUU ...Manchester City, lakini mashabiki wa United na Chelsea kuingia kiwewe
Pep Guardiola atatangaza kuachana na Bayern            Munich wiki ijayo huku kocha wa zamani wa Carlo Ancelotti            akipewa nafasi kubwa kurithi kiti cha ukocha Allianz Arena.
        Inadaiwa Guardiola ambaye mkataba wake            unafikia kikomo mwishoni mwa msimu huu, ameamua kutoongeza            mkataba mwingine Bayern Munich.
        Habari hizo zitapokewa kwa shauku kubwa na            vilabu vya Chelsea, Manchester United na Manchester City            ambazo zote zinaripotiwa kutoridhika na huduma za makocha wao            wa sasa hivi.
        Guardiola anatarajiwa            kujiunga na Manchester City, lakini mashabiki wa United na            Chelsea watahoji: "Kwanini hatajajaribu kumsainisha kwetu?"
        Ancelotti amekuwa akihusishwa na kurejea            Chelsea lakini kcoha huyo wa zamani wa Real Madrid hana fikra            za kufundisha tena Stamford Bridge.
        Kocha wa Bayern Munich  Pep Guardiola                amethibithsa kuwa ataondoka kwenye klabu hiyo
        Guardio kuonda Bayern Munich mwishoni                mwa msimu
          Guardiola aliichukua Bayern Munich baada              ya kushinda mataji matatu mwaka 2013 na akafanikiwa kutetea              taji la Bundesliga mara mbili mfululizo.
          Mhispania huyo amesema atafafanua hatma              yake wiki ijayo. "Leo sina jibu," alisema Jumanne usiku              baada ya ushindi dhidi ya Darmstadt. Wiki ijayo nitaweka mambo              hadharani.
          Carlo Ancelotti huenda akamrithi                  Guardiola
          
Comments
Post a Comment