PEP GUARDIOLA ASEMA ANAONDOKA BAYERN MSIMU HUU ...Manchester City, lakini mashabiki wa United na Chelsea kuingia kiwewe


PEP GUARDIOLA ASEMA ANAONDOKA BAYERN MSIMU HUU ...Manchester City, lakini mashabiki wa United na Chelsea kuingia kiwewe
Pep Guardiola atatangaza kuachana na Bayern Munich wiki ijayo huku kocha wa zamani wa Carlo Ancelotti akipewa nafasi kubwa kurithi kiti cha ukocha Allianz Arena.

Inadaiwa Guardiola ambaye mkataba wake unafikia kikomo mwishoni mwa msimu huu, ameamua kutoongeza mkataba mwingine Bayern Munich.

Habari hizo zitapokewa kwa shauku kubwa na vilabu vya Chelsea, Manchester United na Manchester City ambazo zote zinaripotiwa kutoridhika na huduma za makocha wao wa sasa hivi.

Guardiola anatarajiwa kujiunga na Manchester City, lakini mashabiki wa United na Chelsea watahoji: "Kwanini hatajajaribu kumsainisha kwetu?"

Ancelotti amekuwa akihusishwa na kurejea Chelsea lakini kcoha huyo wa zamani wa Real Madrid hana fikra za kufundisha tena Stamford Bridge.
Bayern                  Munich manager Pep Guardiola will confirm that he will                  be leaving the German champions
Kocha wa Bayern Munich  Pep Guardiola amethibithsa kuwa ataondoka kwenye klabu hiyo
Guardiola's contract in Germany is up at the end of                  the season and he has been linked with move to England
Guardio kuonda Bayern Munich mwishoni mwa msimu

Guardiola aliichukua Bayern Munich baada ya kushinda mataji matatu mwaka 2013 na akafanikiwa kutetea taji la Bundesliga mara mbili mfululizo.

Mhispania huyo amesema atafafanua hatma yake wiki ijayo. "Leo sina jibu," alisema Jumanne usiku baada ya ushindi dhidi ya Darmstadt. Wiki ijayo nitaweka mambo hadharani.
Carlo Ancelotti is set to take over from the                    Spaniard at Bayern when he leaves in the summer
Carlo Ancelotti huenda akamrithi Guardiola


Comments