MESUT OZIL AIPELEKA ARSENAL KILELENI MWA LIGI KUU YA ENGLAND ...Bournemouth yakalishwa 2-0



MESUT OZIL AIPELEKA ARSENAL KILELENI MWA LIGI KUU YA ENGLAND ...Bournemouth yakalishwa 2-0
Arsenal imefanikiwa kukamata uskani wa Ligi Kuu ya England baada ya kushinda 2-0 dhidi ya Bournemouth huo ukiwa ni mchezo wa mwisho katika mwaka 2015.

Katika mchezo huo uliochezwa Emirates, kwa mara nyingine tena Mesut Ozil akaendelea kuwa shujaa wa Arsenal baada ya kuibuka kuwa nyota wa mchezo huku pia akifunga bao la pili dakika ya 63.

Aliyefungua akaunti ya magoli alikuwa ni beki wa Kibrazil Gabriel aliyeifungia Arsenal bao kwanza kunako dakika ya 27.

Arsenal: Cech 7, Bellerin, 6 Mertesacker, 6 Gabriel, 8 Gibbs 7 (Monreal 82mins 6), Chambers, 7 Ramsey 6.5, Oxlade-Chamberlain, 6.5 (Iwobi 90) Ozil,9 Walcott 6, Giroud 7 (Campbell 81, 6.5) 

Bournemouth: (4-1-4-1): Boruc 7, Smith, 6 Francis, 7 Cook, 6.5 Daniels, 5.5, Surman 6, Ritchie, 6.5 Gosling, 7 (O'Kane 6) Arter, 6.5 Pugh 6 (Stanislas HT 6), King 6.5 (Murray 81, 6) 
Mesut Ozil akiifungia Arsenal bao la pili dakika ya 63
The German celebrates after                  his goal confirmed Arsenal would return to the top of                  the Premier League table
Ozil akishangilia
Gabriel celebrates after                  giving Arsenal the lead against Bournemouth at the                  Emirates Stadium 27 minutes into the first halfGabriel akishangilia bao lake la dakika ya 27
The Brazilian defender                  powers home his header which sent the Gunners top of the                  Barclays Premier League in their last game of 2015
Hivi ndiyo Gabriel (kulia) alivyofunga bao lake kwa kichwa
England international Theo                  Walcott sees his effort on goal well saved by Boruc as                  Arsenal enjoyed the better of the opening 45 minutes
Theo Walcott akiangalia juhudi zake zikishindwa kuzaa bao



Comments