Arsenal imefanikiwa            kukamata uskani wa Ligi Kuu ya England baada ya kushinda 2-0            dhidi ya Bournemouth huo ukiwa ni mchezo wa mwisho katika            mwaka 2015.
        Katika mchezo huo            uliochezwa Emirates, kwa mara nyingine tena Mesut Ozil akaendelea kuwa              shujaa wa Arsenal baada ya kuibuka kuwa nyota wa mchezo huku              pia akifunga bao la pili dakika ya 63.
        Aliyefungua akaunti ya magoli alikuwa ni              beki wa Kibrazil Gabriel aliyeifungia Arsenal bao kwanza              kunako dakika ya 27.
        Arsenal: Cech 7,            Bellerin, 6 Mertesacker, 6 Gabriel, 8 Gibbs 7 (Monreal 82mins            6), Chambers, 7 Ramsey 6.5, Oxlade-Chamberlain, 6.5 (Iwobi 90)            Ozil,9 Walcott 6, Giroud 7 (Campbell 81, 6.5) 
        Bournemouth: (4-1-4-1):            Boruc 7, Smith, 6 Francis, 7 Cook, 6.5 Daniels, 5.5, Surman 6,            Ritchie, 6.5 Gosling, 7 (O'Kane 6) Arter, 6.5 Pugh 6            (Stanislas HT 6), King 6.5 (Murray 81, 6) 
        Mesut Ozil akiifungia              Arsenal bao la pili dakika ya 63
        Ozil akishangilia
        Hivi ndiyo Gabriel (kulia) alivyofunga bao lake kwa              kichwa
        Theo Walcott akiangalia              juhudi zake zikishindwa kuzaa bao
          
Comments
Post a Comment