MANCHESTER, CHELSEA HAKUNA WA KUMCHEKA MWENZIE ...David de Gea na Thibaut Courtois wang'ara



MANCHESTER, CHELSEA HAKUNA WA KUMCHEKA MWENZIE ...David de Gea na Thibaut Courtois wang'ara
Manchester United na Chelsea zimetoshana nguvu katika mchezo wa Premier League uliochezwa Old Trafford baada ya timu hizo kutoka sare ya 0-0.

Kama kuna wachezaji waliokuwa mashujaa kwenye mchezo huo, basi walikuwa ni makipa wa timu zote mbili David de Gea na Thibaut Courtois ambao walifanya kazi ya ziada langoni.

Makipa hao ndiyo waliokuwa sababu kubwa ya kufanya mchezo uishe kwa sare ya bila magoli baada ya kuokoa mikwaju kadhaa iliyokuwa ikionekana dhahiri kuelekea nyavuni.

MANCHESTER UNITED (4-2-3-1): De Gea 8.5; Young 7, Smalling 6, Blind 5.5 (Jones 81), Darmian 6 (Borthwick-Jackson 70, 6.5); Schneiderlin 7, Schweinsteiger 6.5; Mata 6 (Depay 77, 5), Herrera 7, Martial 7.5; Rooney 6

CHELSEA (4-2-3-1): Courtois 8; Ivanovic 5, Zouma 6.5, Terry 6.5, Azpilicueta 6; Mikel 6, Matic 5; Willian 5.5 (Ramires 70, 6), Oscar 6, Pedro 6.5; Hazard 7.5

Nemanja Matic wasted the                  best chance of the match by firing the ball over David                  de Gea's goal when he had plenty of time and space
Nemanja Matic alipoteza nafasi ya wazi ya kufunga baada ya kupaisha mpira juu 
The Serbia international                  reacts by putting his hand on his protective mask after                  seeing his effort sail over the woodwork at Old                  Trafford 
Nyota huyo wa kimataifa wa Serbia akijilaumu baada ya kushindwa kukwamisha mpira wavuni
Manchester United midfielder                  Ander Herrera came close to scoring from close range                  however Thibaut Courtois dived down to his left
Kiungo wa Manchester United  Ander Herrera alipoteza nafasi ya kufunga pale kipa cha Chelsea Thibaut Courtois aliporuka na kupangua mpira
Herrera hides his face in                  disappointment after squandering a golden opportunity                  for Manchester United during the second half Hapa sasa ilikuwa ni zamu ya Herrera kujilaumu


Comments