CHELSEA YASHINDA 3-1 LAKINI MASHABIKI WAMLILIA JOSE MOURINHO ...FABREGAS NA DIEGO COSTA WAZOMEWA



CHELSEA YASHINDA 3-1 LAKINI MASHABIKI WAMLILIA JOSE MOURINHO ...FABREGAS NA DIEGO COSTA WAZOMEWA
Chelsea imeshinda 3-1 dhidi ya Sunderland katika mchezo wa Ligi Kuu lakini hiyo haikutosha kuwafanya mashabiki wa klabu hiyo wasimkumbuke kocha aliyetimuliwa Jose Mourinho.

Waliimba jina la Mourinho na hata pale majina ya Cesc Fabregas na Diego Costa yalipotajwa uwanjani, mashabiki hao wakazomea kwa nguvu.

Wakati wachezaji hao wakipumzishwa na kwenda benchi huku nafasi zao zikichukuliwa na wachezaji wengine, mashabiki hao wakaimba tena jina la Mourinho kwa nguvu kuonyesha kumuunga kwao mkono.

Mourinho alitimuliwa majuzi baada ya mwendo mbaya msimu huu, lakini mashabiki wa klabu hiyo wamekuwa wakiamini kuwa Mreno huyo amesalitiwa na wachezaji wake ambapo Diego Costa na Fabregas wamekuwa wakihusishwa kwa nguvu na tuhuma hizo.

Magoli ya Chelsea yalifungwa na Branislav Ivanovic, Pedro na Oscar kabla ya Borini hajaifungia Sunderland bao pekee katika dakika ya 53.

Chelsea XI (4-2-3-1): Courtois 6; Ivanovic 7, Zouma 7, Terry 6.5, Azpilicueta 7; Fabregas 7 (Mikel 71 6), Matic 7; Willian 7.5, Oscar 8.5 (Ramires 82 6), Pedro 8; Costa 5 (Remy 75 6)

Sunderland XI (3-4-1-2): Pantilimon 5; Coates 4 (Johnson 23 6.5), O'Shea 5, Kaboul 5.5; Jones 5, M'Vila 6.5, Rodwell 6, Van Aanholt 6; Toivonen 6 (Borini 46 7); Watmore 6 (Graham 79 6), Defoe 6
Branislav Ivanovic rises                  above Sebastian Coates in the crowded penalty area to                  put Chelsea ahead with a bullet header on five minutes
Branislav Ivanovic (kushoto) akiruka juu kuifungia Chelsea bao la kuongoza 
Chelsea we two goals ahead just eight minutes                        later when Pedro fired an effort past Pantilimon                        after finding space in the Sunderland area
Chelsea wakipata bao la pili kupitia kwa Perdo
The Chelsea players swarm around Pedro                        (hidden) as the Blues go in search of their first                        win in four Premier League gamesWachezaji wa Chelsea wakiwa wamemzunguka Pedro kumpongeza kwa bao lake
Brazilian midfielder Oscar made it 3-0 to                        Chelsea from the spot after Willian had been                        tripped by Pantilimon in the penalty areaOscar akiifungia Chelsea bao la tatu kwa mkwaju wa penalti
Sunderland striker Fabio Borini roars with                        celebration as after reducing deficit on 53                        minutes as he heads back to halfway with the ball
Mshambuliaji wa Sunderland  Fabio Borini akishangilia baada kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 53
The Dutch                              manager (left) was joined in the directors'                              box by club legend Didier Drogba (centre)                              and owner Roman Abramovich
Atakayekuwa kocha wa muda wa Chelsea Guus Hiddink  (kushoto) akiwa na Didier Drogba (katikati) pamoja na tajiri wa timu Roman Abramovich wakifuatialia mchezo dhidi ya Sunderland kwenye uwanja wa Stamford Bridge
Chelsea fans showed                          their support for Jose Mourinho, who was sacked                          as the club's manager on Thursday afternoon,                          before kick-off
Mashabiki wa Chelsea wakionyesha mabango yanayomsapoti kocha aliyetimuliwa Jose Mourinho
One sign the home                          crowd described the Chelsea players as Judases                          as the supporters jeered their team and sung                          Jose Mourinho songs
Hili ni bango lingine ambalo linamsapoti Mourinho huku likiwashutumu wachezaji na kuwafananisha na Yuda
A banner with                          Mourinho's face on it reads 'One of us' as                          Chelsea fans make their displeasure at the                          Portuguese's sacking clear
Bango lenye picha ya Mourinho na maneno yanayosema "Ni mmoja wetu"



Comments