CHELSEA, MANCHESTER UNITED ZAHUSISHWA NA USAJILI WA BOJAN KRKIC



CHELSEA, MANCHESTER UNITED ZAHUSISHWA NA USAJILI WA BOJAN KRKIC
Spanish forward Bojan            peels away in celebration after his opener in Stoke's 2-0 win            which saw the Potters climb to eighth 
NYOTA wa Stoke City, Bojan Krkic amegeuka lulu baada ya vilabu vikubwa barani Ulaya kupigana vikumbo kusaka saini yake.

Miongoni mwa vilabu vinavyotajwa kumwania mchezaji huyo wa zamani wa Barcelona ni pamoja na Manchester United na Chelsea.

Hatua hiyo imekuja baada ya Krkic kung'ara vilivyo msimu huu ikiwa ni pamoja na kuifungia Stoke mabao muhimu likiwemo lile la ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester United Jumamosi iliyopita.
Bojan Krkic shares his                  delight with team-mates after setting Stoke City off on                  the way to victory over Manchester United on Saturday
Bojan Krkic akipongezwa na wenzake baada ya kuinyuka Manchester United 
Bojan Krkic slides home                  through a desperate United defence to put Stoke in front                  after 19 minutes on Boxing Day
Bojan Krkic akifunga dhidi ya Manchester United




Comments