Atletico Madrid              imeichapa Benfica 2-1 na kushika namba moja kwenye kundi C              la Champions League.
        Licha ya kipigo              hicho, Benfica nayo inasonga mbele kuelekea hatua ya mtoano              baada ya kushika nafasi ya pili huku Galatasaray na FC              Astana zilizotoka sare ya 1-1 zikiaga michuano hiyo mikubwa              barani Ulaya kwa ngazi za klabu.
        
Comments
Post a Comment