ATLETICO MADRID NA BENFICA ZAPETA CHAMPIONS LEAGUE



ATLETICO MADRID NA BENFICA ZAPETA CHAMPIONS LEAGUE
Atletico Madrid's forward Luciano Vietto celebrates            scoring his side's first goal against Reus Deportiu 
Atletico Madrid imeichapa Benfica 2-1 na kushika namba moja kwenye kundi C la Champions League.

Licha ya kipigo hicho, Benfica nayo inasonga mbele kuelekea hatua ya mtoano baada ya kushika nafasi ya pili huku Galatasaray na FC Astana zilizotoka sare ya 1-1 zikiaga michuano hiyo mikubwa barani Ulaya kwa ngazi za klabu.







Comments