Ujumbe wa Sugu kwa Professor Jay kuhusu lawama za wasanii



Ujumbe wa Sugu kwa Professor Jay kuhusu lawama za wasanii Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu na Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. Joseph Haule a.k.a Professor Jay, ni wasanii wa muziki ambao wamefanikiwa kuingia kwenye Bunge la 11 baada ya kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
sugu na jay
Kupitia 255 ya XXL Sugu ambaye alikuwa Mbunge kwenye bunge lililopita, amempa ushauri Professor ambaye ndio ameingia mjengoni kwa mara ya kwanza kuhusu malalamiko kutoka kwa wasanii.
"Unajua wasanii wamekuwa wakilalamika kuhusu uwepo wangu mjengoni, ngoja niseme kitu kwa Proffesor Jay, naomba atambue yeye ni Mbunge wa Mikumi na hakuna jimbo la Wasanii, kama mimi nilivyo Mbunge wa Mbeya Mjini. Tufanye kazi kwa ajili ya maendeleo ya Wananchi wetu waliotuchagua. Kwa sababu Wasanii wamekuwa na tabia ya kuongea kuwa tunashindwa kuwasaidia sisi sio wabunge wa Wasanii naomba ieleweke". alisema Sugu.
Sugu aliendelea;

Comments