MANCHESTER UNITED KUMFUNGIA KAZI WINGA SADIO MANE WA SOUTHAMPTON


MANCHESTER UNITED KUMFUNGIA KAZI WINGA SADIO MANE WA SOUTHAMPTON
Ni wakati wa kutunishiana msuli. Southampton inatarajiwa kuizuia Manchester United isimsajili mshambuliaji wao Sadio Mane katika dirisha dogo la usajili la Januari.

Lakini pamoja na hayo, kuna hisia zimetanda Southampton kuwa Mane ataondoka kwenye klabu hiyo mara tu msimu huu utakapomalizika.

Iwe ni Januari au kiangazi kijacho, kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amedhamiria kumsajili winga huyo ambaye alimkosa katika usajili wa kiangazi kilichopita.
Southampton will resist                  Manchester United's attempts to land Sadio Mane (above)                  in January
Winga wa Southampton Sadio Man anawindwa na Manchester United
United boss Louis van Gaal                    (above) wants to sign a winger in the transfer window                    and is set to bid for Mane
Kocha wa United United Louis van Gaal anataka kusajili winga katika dirisha hili usajaji






Comments