HATIMAYE ARSENAL YAAMUA KUMALIZANA NA ALEXIS SANCHEZ



HATIMAYE ARSENAL YAAMUA KUMALIZANA NA ALEXIS SANCHEZ
Arsenal inakaribia kumalizana na mshambuliaji wake Alexis Sanchez juu ya mkataba mpya utakaomweka Emirates kwa miaka mitano zaidi.

Inaaminika nyota huyo wa kimataifa wa Chile tayari ameshakubali ofa ya mkataba mpya wa miaka mitano kwa mshahara wa pauni 155,000 kwa wiki.

Sanchez amebakiza miaka miwili na nusu kwenye mkataba wake wa sasa hivi unaomwingizia pauni 130,000 kwa wiki. 

Arsenal inataka kuhakikisha mkali huyo haingii kwenye miaka yake miwili ya mwisho kabla hajasaini mkataba mpya.
Arsenal's Alexis Sanchez,                  pictured during international duty on Monday, is close                  to securing a new deal
Alexis Sanchez yuko mbioni kusaini mkataba mpya Arsenal
Star man Sanchez is close to                  agreeing a new five-year deal worth £155,000-a-week with                  the GunnersSanchez anakaribia kusaini dili la  £155,000 kwa wiki
Discussions with the forward                  are at an advanced stage and Arsenal believe a deal has                  been agreed
Inaaminika mazungumzo ya dili jipya la Sanchez ndani Arsenal yamefika mahala pazuri




Comments