ENGLAND YAILAMBA UFARANSA 2-0 ...WAYNE ROONEY ANAHUSIKA



ENGLAND YAILAMBA UFARANSA 2-0 ...WAYNE ROONEY ANAHUSIKA
England imefuta machungu ya kipigo cha Hispania kwa kuitandika Ufaransa 2-0 katika mchezo kimataifa wa kirafiki uliopigwa kwe dimba la Wembley.

Bao la kwanza la England lilifungwa na kinda Dele Alli aliyekuwa akicheza mchezo wake wa kwanza kwa timu ya taifa huku goli la pili likifungwa na Wayne Rooney.

England beat France in their                  international match that was used to pay tribute to                  those who lost their lives in the Paris terror attacks
England imeifunga Ufaransa
Dele Alli marked his first                  start at international level with a stunning strike that                  gave England the lead at Wembley on Tuesday
Dele Alli alikuwa na siku njema baada ya kufunga kwenye mechi yake ya kwanza kwa timu ya taifa
Alli struck from long range                  to put England ahead against France in the first half of                  their match at Wembley in north London
Alli akiachia shuti kuiandikia England bao la kwanza
England captain Wayne Rooney                  volleyed home at the far post just after half-time to                  secure victory for the home side
Wayne Rooney akifunga bao la pili kwa England



Comments