CHELSEA YAAMBULIA SARE KWA TOTTENHAM …Mourinho ampiga benchi Diego Costa



CHELSEA YAAMBULIA SARE KWA TOTTENHAM …Mourinho ampiga benchi Diego Costa
Nemanja Matic (right)            was left in a heap on the floor by Erik Lamela after being            caught by a flailing arm 
Chelsea ya Jose Mourinho bado bado haiko sawa baada ya kuambulia pointi moja dhidi ya Tottenham kwenye mchezo wa Premier League.

Ni sare ambayo Tottenham itabidi wajialaumu kutokana na namna walivyodhibiti mchezo na kutengeneza nafasi za wazi ambazo kama wangezitumia vizuri basi wangeibuka na pointi tatu.

Mourinho ni kama vile bado anatafuta kikosi sahihi kwenye timu yake baada ya kumpiga benchi mshambuliaji namba moja wa timu hiyo Diego Costa.

Wakati wa mapumziko Costa alipasha mwili moto kama vile anatarajia kuingia uwanjani, lakini bado Mourinho akamsotesha benchi hadi mwisho wa mchezo.

Tottenham walicheza kama vile hawajawahi kupoteza mchezo wowote kwa namna walivyokuwa wakijiamini na kuziba mianya yote ambayo ingeweza kuwapa nafasi Chelsea ya kulijaribu lango lao.

TOTTENHAM XI (4-2-3-1): Lloris 6.5; Walker 6, Alderweireld 6.5, Vertonghen 6, Rose 7; Mason 6 (Lamela 55, 6.5), Dier 6.5, Dembele 6.5, Son 6.5 (Njie 73, 6); Eriksen 6.5; Kane 6.


CHELSEA XI (4-2-3-1): Begovic 6.5; Ivanovic 6, Zouma 7.5, Cahill 7, Azpilicueta 6; Fabregas 6.5, Matic 7; Willian 6 (Kennedy 88), Oscar 6.5, Pedro 6 (Loftus-Cheek - 91); Hazard 6.5.
Pedro (centre) attempts to                  squeeze in between Toby Alderweireld and Hugo Lloris                  during the London derby 
Pedro (katikati) akikabiliana na Toby Alderweireld na kipa Hugo Lloris kwenye mchezo watani wa London 
The Spaniard was frustrated                  after seeing his long-range fizzing effort deflect just                  over the crossbar 
Pedro akisikitika shake likibabatiza mwamba
Harry Kane (centre) endured                  a tough afternoon as the Chelsea defenders made sure he                  was closely watched
Harry Kane (katikati) alikuwa chini ya uangalizi mkali wa mabeki wa Chelsea
Son Heung-min (left) sees                  his effort saved by Chelsea goalkeeper Asmir Begovic                  with Branislav Ivanovic closing in
Son Heung-min (kushoto) akingalia mpira wake ukiokolewa na kipa wa Chelsea Asmir Begovic huku Branislav Ivanovic akiwa tayari kutoa msaada
Diego Costa (centre) was                  left out of the Chelsea starting line-up and had to make                  do with a place on the benchDiego Costa (katikati) akiwa benchi
The Spaniard warms up                    during the second half but was left on the subs bench                    by Mourinho at White Hart LaneCosta akipasha mwili moto lakini bado akaendelea kusota benchi hadi mwisho wa mchezo uliofanyika White Hart Lane




Comments