ANTHONY MARTIAL WA MANCHESTER UNITED ATEMBELEA MAGONGO, AUMIA KATIKA MECHI YA ENGLAND NA UFARANSA


ANTHONY MARTIAL WA MANCHESTER UNITED ATEMBELEA MAGONGO, AUMIA KATIKA MECHI YA ENGLAND NA UFARANSA

Manchester United inapita katika kipindi kufuatia kuumia kwa mashambuliaji wake tegemeo Anthony Martial.

Mshambuliaji huyo wa kimatafa wa Ufaransa aliumia wakati akiitumikia nchi yake kwenye mchezo kimataifa wa kirafiki dhidi ya Ufaransa kwenye uwanja wa Wembley Jumanne usiku.

Katika mchezo huo ambao England ilishinda 2-0, Anthony Martial alitolewa dakika ya 67 ambapo baadae mguu wake ulifungwa bandeji huku akitembelea magongo.
Manchester United team-mates                  Wayne Rooney and Martial embrace on the Wembley pitch                  during the game
Wayne Rooney  na akmfariji Martial 
Martial makes his way off                  the field to be replaced by Atletico Madrid star Antoine                  Griezmann on 67 minutes
Martial akitoka na kumpisha nyota wa Atletico Madrid Antoine Griezmann dakika ya 67



Comments