WACHEZAJI WATANO WALIOONEKANA HAWAFAI KWA MOURINHO, WAKAWA LULU WALIKOTIMKIA



WACHEZAJI WATANO WALIOONEKANA HAWAFAI KWA MOURINHO, WAKAWA LULU WALIKOTIMKIA
Jose-and-Mata
Jose Mourinho ni moja ya makocha borani Ulaya lakini amekuwa kikosolewa kwa kuua baadhi ya vipaji vya wachezaji wazuri sana. Hawa ndio wachezaji watano ambao Jose Mourinho aliwauza lakini kwa sasa wanafanya maajabu katika vilabu vyao.
 
5.Romelu Lukaku
4.Andre Schurrle
3.Kevin De Bruyne
 
2.David Luiz
1.Juan Mata


Comments