VAN GAAL KUMTOA KWA MKOPO TENA MCHEZAJI HUYU KUTOKA MANCHESTER UNITED



VAN GAAL KUMTOA KWA MKOPO TENA MCHEZAJI HUYU KUTOKA MANCHESTER UNITED

GettyImages-462715720n

Adnan Januzaj ni mchezaji ambae anacheza Borussia Dortmund kwa mkopo akitokea Manchester united. Sasa hivi Van Gaal anasubili ufike mwezi January ili amruhusu foward mwenye umri mdogo James Wilson ajiuenge na Celtic kwa mkopo kwa muda uliobaki wa msimu huu.

Habari zinasema kwamba Wilson atajiunga na mchezaji mwenzake wa zamani Tyler Blackett ambae yupo kwenye club hiyo ya Celtic ukifika mwezi January.

Wilson amesaini mkataba na Manchester united hadi mwaka 2017 lakini haionekani nafasi ya yeye kucheza wakati kuna wachezaji kama Wayne Rooney na Anthony Martial.

GettyImages-462715720



Comments