SERGIO AGUERO HATARINI KUIKOSA MANCHESTER UNITED ...aumia akiwa na timu ya taifa



SERGIO AGUERO HATARINI KUIKOSA MANCHESTER UNITED ...aumia akiwa na timu ya taifa
Manchester City inahofia kumkosa mshambuliaji wake tegemeo Sergio Aguero katika mchezo dhidi ya wapinzani wapo Manchester United baada ya nyota huyo kuumia akiwa na timu ya taifa.

Timu hizo zinakutana wiki mbili zijazo katika mchezo wa Premier League lakini sasa Aguero yuko mashakani baada ya kupata maumivu ya msuli wa paja.

Sergio Aguero mwenye umri wa miaka 27, aliondolewa uwanjani na machela Alhamisi usiku katika mchezo wa Argetnina na Ecuador.

Aguero bado hajawasili Manchester lakini tayari Man City wanahofia kuwa watamkosa mkali huyo katika mechi zao kadhaa.
Sergio Aguero is carried off                  on a stretcher during Argentina's 2-0 defeat by South                  American rivals EcuadorĀ 
Sergio Aguero akitoloewa nje kwa machela
Aguero had been chasing a                  long ball when he pulled up in obvious discomfort during                  the match on Thursday
Aguero sasa hatarini kuikosa Manchester United


Comments