MANCHESTER UNITED YASALIMIKA KWA MANCHESTER CITY ...City yarejea kileleni


MANCHESTER UNITED YASALIMIKA KWA MANCHESTER CITY ...City yarejea kileleni
United talisman Wayne Rooney rides a challenge from              City defender Bacary Sagna during a lacklustre Manchester              derby stalemate

Timu mbili zinazotesa kwa kuwa na wachezaji wa bei mbaya, Manchester United na Manchester City zimetoka sare ya bila magoli katika mchezo uliodorora wa Premier League.


Mchezo huo uliochezwa katika uwanja wa Old Trafford ulishuhudia timu hizo zikitengeneza nafasi  chache sana za kufunga.

Siku moja kabla ya mchezo, kocha wa United Louis van Gaal alisema anawapa nafasi kubwa ya kushinda Manchester City.

Kwa sare hiyo, City inarejea kileleni mwa msimamo wa ligi ikiipiku Arsenal kwa wastani wa magoli.

Mshambuliaji wa Manchester United Jesse Lingard  nusura aipe ushindi timu yake dakika za lala salama pale mpira wake wa kichwa ulipogonga mwamba

MANCHESTER UNITED (4-2-3-1): De Gea 6; Valencia 6.5 (Darmian 5.5), Jones 6.5, Smalling 7, Rojo 6.5; Schweinsteiger 7(Fellaini 6.5), Schneiderlin 6; Mata 5 (Lingard 7), Herrera 6.5, Martial 7; Rooney 5.5.

MANCHESTER CITY (4-2-3-1): Hart 6.5; Sagna 6.5, Kompany 7, Otamendi 8, Kolarov 6; Fernando 6, Fernandinho 6.5; De Bruyne 6, Toure 6 (Demichelis 6), Sterling 5.5 (Navas 6); Bony 5(Iheanacho 6).






Comments