MANCHESTER UNITED NA MANCHESTER CITY WABABE WA KUMWAGA PESA ZA USAJILI USO KWA USO




MANCHESTER UNITED NA MANCHESTER CITY WABABE WA KUMWAGA PESA ZA USAJILI USO KWA USO
Manchester United inaikaribisha Manchester City katika mchezo mkubwa wa watani wa jadi wa jiji la Manchester unaotarajiwa kubadilisha msimamo wa ligi kuu ya England.

Lakini mbali na ushindani baina ya timu hizo mbili zinazoshika nafasi ya pili na ya tatu, lakini pia ni mechi ya wababe wa kumwaga pesa kwenye usajili.

Wachezaji wa bei mbaya wa klabu hizo mbili wanaunda jumla ya pauni milioni 545 zilizotumika kuwanunua.
Manchester United's                  £58million striker Anthony Martial celebrates after                  scoring against Liverpool last month
Mshambuliaji wa Manchester United mwenye thamani ya pauni milioni 58 Anthony Martial
Manchester United probable                    XI: Total cost    Manchester City probable                    XI: Total cost
Hizi ndiyo bei za wachezaji wa Manchester United na Manchester City ambayo inafika pauni milioni 545
Kevin De Bruyne has                  impressed for Manchester City since making the £55m                  switch from Wolfsburg
Kevin De Bruyne aliyenunuliwa kwa pauni milioni 55 kutoka Wolfsburg yupo kwenye kiwanga cha kutisha



Comments