MANCHESTER CITY HAKUNA KUREMBA, YAIFUMUA CRYSTAL PALACE 5-1


MANCHESTER CITY HAKUNA KUREMBA, YAIFUMUA CRYSTAL PALACE 5-1
Manchester City imeendelea kutakata kwenye michuano mbalimbali baada ya kuibugiza Crystal Palace 5-1 katika Capital One Cup huku supastaa wao mpya Kevin De Bruyne akiendelea kuwa tishio. 

Kevin De Bruyne aliifungia City kunako dakika ya 44 ikiwa ni baada ya mashambuliaji  wa Kinigeria Wilfried Bony
kuifungia timu hiyo bao la kwanza dakika ya 22.

Kelechi Iheanacho mwenye umri wa miaka 19, raia wa Nigeria aliyeigharimu City  pauni 350,000, alifunga bao la tatu katika dakika ya 59 kabla ya Toure na Garcia hawajafunga dakika ya 76 na 90 huku bao pekee la Crystal Palace likifungwa na Delaney dakika ya 89.

Iheanacho ndiye aliyekuwa nyota wa mchezo huo baada kutandaza soka safi na kupiga magoli kadhaa.

MANCHESTER CITY (4-4-2): Caballero 5; Zabaleta 7 (Sagna 56, 6), Mangala 6.5, Demichelis 7, Kolarov 6; Navas 6.5, Toure 6, Fernando 6, De Bruyne 7 (Roberts 75, 6); Iheanacho 8, Bony 5.5 (Garcia 84)

CRYSTAL PALACE (4-5-1): Hennessey 5; Kelly 5.5, Dann 5, Delaney 6, Mariappa 5 (Ward 85); Zaha 6.5, Jedinak 6, Mutch 5 (Chung-yong 75, 6), Ledley 5, Bolasie 6.5; Bamford 5 (Gayle 77, 6)
Kelechi Iheanacho was the                    star man for Manchester City after scoring once and                    assisting two more in the victory over Crystal                    PalaceĀ 
Kinda wa Manchester City Kelechi Iheanacho alikuwa nyota wa mchezo kwa kufunga mara moja na kupika mabao mawili katika ushindi wa Capital One dhidi ya Crystal Palace 
Manu Garcia, 17, came off                    the bench to score Manchester City's fifth goal late                    in the second half at Etihad Stadium on Wednesday                    night
Chipukizi Manu Garcia, 17, alitokea benchi na kuifungia City bao la tano ndani ya dimba la Etihad Stadium Jumatano usiku
Crystal Palace defender                    Damien Delaney pulled a goal back for the south London                    club after powering his header home past Willy                    Caballero
Beki wa Crystal Damien Delaney akiruka hewani na kuifungia timu yake bao pekee
Manchester City captain                    Yaya Toure scored the fourth goal of the evening from                    the penalty spot as his side defeated Crystal Palace
Nahodha wa Manchester City  Yaya Toure akifunga bao la nne
City striker Iheanacho                    added a third goal for Premier League giants as they                    eased past Crystal Palace on Wednesday
Iheanacho akifunga goli la tatu kwa City
Manchester City star Kevin                    De Bruyne doubled their lead on the stroke of                    half-time after confidently finishing beyond Wayne                    Hennessey
Staa wa Manchester City Kevin De Bruyne akifunga bao la pili
City striker Wilfried Bony                    opened the scoring for the hosts by meetingĀ Aleksandar                    Kolarov's corner with a thumping header
 Wilfried Bony alikuwa wa kwanza kuifungia City bao la kuongoza  akiunganisha kona ya Aleksandar Kolarov





Comments