Luke Shaw ameonekana mtaani akiendelea kuupa mazoezi mguu wake uliovunjika vibaya katika mechi ya Champions League dhidi ya PSV.
Beki huyo wa United aliumia katika kichapo cha 2-1 kutoka kwa PSV Eindhoven mwezi uliopita ambapo Hector Moreno alicheza rafu ya kutisha iliyomvunja vibaya beki tatu huyo wa kimataifa wa England.
Luke Shaw ameonekana kwenye mitaa ya jiji la Manchester akitembea na magongo yake.
Luke Shaw
Kushoto ni Luke Shaw na magongo yake na kulia ni siku aliyovunjika mguu uwanjani
Comments
Post a Comment