LIVERPOOL YASONGA MBELE CAPITAL ONE CUP WAKATI JURGEN KLOPP AKIVUNA USHINDI WAKE WA KWANZA


LIVERPOOL YASONGA MBELE CAPITAL ONE CUP WAKATI JURGEN KLOPP AKIVUNA USHINDI WAKE WA KWANZA
Kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp Jumatano usiku alikuwa kivutio wakati akipata ushindi wake wa kwanza tangu alipoanza kuikochi timu hiyo.

Jurgen Klopp alikuwa akikimbia huku na huko akitoa maelekezo kwa katika staili iliyovutia macho ya wengi.

Mwisho wa siku Liverpool ikaibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Capital One kwa goli lililofungwa na beki kulia Nathaniel Clyne katika dakika ya 17.

Liverpool (4-1-4-1): Bogdan 7.5, Clyne 7, Toure 6 (Skrtel 31 7), Lovren 7, Randall 7, Allen 7, Teixeira 7.5, Ibe 6.5, Firmino 8 (Lallana 86), Brannagan 7 (Lucas 64 6.5), Origi 6 

Bournemouth (4-3-3): Federici 7, Francis 6, Smith 7, Distin 6, Daniels 6.5, MacDonald 6.5, Pugh 6, Ritchie 6.5, Arter 6 (King 71 6), Stanislas 7 (Rantie 82), Kermorgant 6 (Tomlin 71)
Nathaniel Clyne celebrates                  scoring the only goal of the game as Liverpool earn a                  1-0 Capital One Cup victory against BournemouthNathaniel Clyne akishangilia bao lake
German boss Jurgen Klopp                  yells with delight after seeing Clyne hand his side a                  1-0 lead at Anfield 
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp akipiga kelele baada ya  Clyne kufunga bao pekee
The 48-year-old turns                  towards his bench and pumps his fist as his Liverpool                  side take a deserved lead 
Jurgen Klopp akishangilia mbele ya mashabiki
Klopp cut a typically                  animated figure on the Anfield touchline as Liverpool                  looked to record their first win under the German
Klopp akitoa maelekezo kwa staili ya aina yake
Liverpool midfielder                  Teixeira watches his brilliant backheel creep towards                  the line as Federici attempts to make a save  
Kiungo wa Liverpool Teixeira akiangalia mpira wake wa kisingino ukielekea wavuni kabla kipa  Federici hajaokoa



Comments