LIVERPOOL YAIDHIBU CHELSEA DARAJANI ...Jurgen Klopp aweka rehani kibarua cha Mourinho


LIVERPOOL YAIDHIBU CHELSEA DARAJANI ...Jurgen Klopp aweka rehani kibarua cha Mourinho
Mourinho passes on instructions              to Eden Hazard, who was substituted early in the second-half              after another tepid display for the Blues
Kibarua cha Jose Mourinho kinazidi kuning'inia pabaya baada ya Chelsea kufungwa 3-1 na Liverpool kwenye uwanja wao wa nyumbani - Stamford Bridge.

Bosi huyo wa Chelsea alijaribu kila mbinu kuwarejesha wachezaji wake kwenye kiwango chao lakini mwisho wa siku pointi tatu zikaondoka.

Chelsea ilikuwa ya kwanza kufunga katika dakika ya 4 kupitia kwa Ramires lakini wakati timu hiyo ikiamini kuwa inakwenda mapumziko ikiwa mbele, Coutinho akasawazisha dakika ya 45.

Coutinho akaendelea kuwa mwiba kwa Mourinho kunako dakika ya 74 pale alipofunga bao la pili kabla ya Benteke hajahitimisha ushindi saba kabla mchezo haujamalizika.

Huu unakuwa ushindi wa kwanza kwenye Premier League nna wa pili mfululizo katika michuano yote kwa kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp. 

Chelsea (4-2-3-1): Begovic 6; Zouma 5, Cahill 6, Terry 6, Azpilicueta 6 (Falcao 75, 6); Ramires 7, Mikel 6.5 (Fabregas 69, 6), Willian 7; Oscar 6.5, Hazard 5 (Kenedy 59, 6), Costa 6

Liverpool (4-3-3): Mignolet 6; Clyne 7, Skrtel 7, Sakho 7.5, Moreno 5.5; Can 6.5, Lucas 6.5, Milner 7 (Benteke 64, 7); Lallana 7.5 (Lovren 90), Coutinho 8.5, Firmino 7.5 (Ibe 75, 6.5)
Liverpool forward Philippe                  Coutinho (right) whips this strike past the challenge of                  John Terry (left) to equalise for the away side
 Philippe Coutinho (kulia) akiifungia Liverpool 
Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza  Coutinho baada ya kuisawazishia Liverpool
Coutinho heaped more misery                  on Jose Mourinho's men with this strike late in the                  second-half to give Liverpool a 2-1 lead
Coutinho akifunga bao la pili
The Liverpool players                  celebrate in a heap in front of the travelling fans at                  Stamford Bridge having taken a late second-half leadWachezaji wa Liverpool wakishangilia bao la pili ndani ya Stamford Bridge 
Chelsea's backline was once                  again undone by this shot from Christian Benteke, who                  fired in Liverpool's third at Stamford Bridge
Christian Benteke akihitimisha ushindi wa Liverpool
Ramires (centre) is                congratulated by countryman Willian (right) and Kurt Zouma                following his opener for Chelsea on Saturday
Chelsea wakishangilia bao lao





Comments