GUUS HIDDINK YUPO TAYARI KUMRITHI MOURINHO CHALSEA



GUUS HIDDINK YUPO TAYARI KUMRITHI MOURINHO CHALSEA
Guus Hiddink amekataa kukanusha uwezekano wa kuifundisha Chelsea iwapo Jose Mourinho ataondoka Stamford Bridge.

Kocha huyo Mdachi aliwahi kuifundisha kwa muda Chelsea mwaka 2009 na kushinda taji la FA.

Kwasasa Guus Hiddink hana kazi baada ya kujiuzulu kuifundisha timu ya taifa ya Holland na alipoulizwa iwapo atapenda kufundisha  Premier League, Hiddink alisema hiyo ni nafasi adimu ambayo hawezi kuitupa.

Mourinho yuko kwenye shinikizo kubwa  baada ya kuwa na mwanzo mbaya msimu huu ikiwa ni pamoja na kutupwa nje kwenye michuano ya Capital One Cup.
Guus Hiddink has refused to                  rule out the possibility he could return to Chelsea if                  Jose Mourinho is sacked
Guus Hiddink yupo tayari kuikochi Chelsea kama Jose Mourinho atatimuliwa
Jose Mourinho is under                  mounting pressure at Chelsea following a poor start to                  the season 
Jose Mourinho yuko kwenye shinikizo kubwa Chelsea
Hiddink managed Chelsea on a                  temporary basis in 2009 and is well-regarded at Stamford                  Bridge
Hiddink alipokuwa akiifundisha kwa muda Chelsea 
The Dutch manager led                  Chelsea to FA Cup success, beating Everton in the final                  at Wembley 
Hiddink alipoipa Chelsea taji la FA Cup 
Chelsea find themselves 15th                  in the Premier League table - with just 11 points from                  10 matches so far
Msimamo wa Ligi Kuu ya England ukionyesha timu sita za mwisho Chelsea ikiwemo




Comments