DJIBRIL CISSE AMEFUNGULIWA MASHTAKA POLISI KISA MKANDA NGONO


DJIBRIL CISSE AMEFUNGULIWA MASHTAKA POLISI KISA MKANDA NGONO

CRLlvGpWwAAAc1b

Cisse aliyekua mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa alikua na mahojiano na polisi yeye na marafiki zake watatu baada ya kuwa na kushukiwa na kesi ya kuwa na mkanda wa ngono wa mchezaji wa Olympique Lyonnais midfielder Mathieu Valbuena.

Inachosemekana ni kwamba Cisse na wenzake wamejaribu kumdai pesa mchezaji huyo ili wasiutoe mkanda huo wa ngono. Cisse alimatwa na polisi kwa ajili ya mahojiano japokua hakukua na uthibitisho kuhusu huo mkanda anao Cisse au mtu mwingine kati yao.

Bado uchunguzi upo chini ya polisi na wahusika wakuu ni Cisse na marafiki zake.



Comments