ASTON VILLA YAMTIMUA KOCHA TIM SHERWOOD NA BECHI LAKE LA UFUNDI



ASTON VILLA YAMTIMUA KOCHA TIM SHERWOOD NA BECHI LAKE LA UFUNDI
Aston Villa imemtimua kocha wake Tim Sherwood sambamba na wasaidizi wake  Mark Robson na Ray Wilkins.

Watatu hao wamepigwa chini na mtendaji mkuu wa klabu Tom Fox ikiwa ni baada ya mwenendo mbaya kwenye Premier League.

Aston Villa ilalazwa 2-1 na Swansea Jumamosi na kuganda kwenye eneo hatarishi la kushuka daraja baada ya vipigo sita msimu huu.
Tim Sherwood has been sacked                  by Aston Villa after a disastrous start to the Premier                  League season
Tim Sherwood ametimuliwa Aston Villa
     
Kibarua cha Sherwood kilikuwa hatarini tangu mwezi uliopita baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mabaya
Assistant manager Ray                  Wilkins was also relieved of his duties by the club on                  Sunday morning
Kocha msaidizi Ray Wilkins naye pia ametimuliwa kazi


Comments