THIERRY HENRY AMEANZA KUFANYA HIVI…JE, YEYE NDIYE MRITHI WA ARSENE WENGER?



THIERRY HENRY AMEANZA KUFANYA HIVI…JE, YEYE NDIYE MRITHI WA ARSENE WENGER?

cover

Ukiwatajia jina la Henry mashabiki wa Arsenal wanakumbuka moment nyingi nzuri ambazo aliwaletea kipindi chake anachezea club hiyo.

Sasa hivi Thierry Henry amepewa majukumu na ameisimamia club ya Arsenal ya vijana kwenye mazoezi wakati ikijiandaa na mashindano ya UEFA ya vijana dhidi ya Dinamo Zagreb.

Henry ambae anaongoza kwa kufunga magoli kwenye club ya Arsenal kuliko mchezaji yoyote, amefunga magoli 228 kwenye mechi 376 alizowai kucheza. Henry na kocha mwenzake wamesimamia mazoezi ya wachezaji wenye miaka under 19 wa club ya Arsenal ambao wanajiandaa na UEFA Youth League.

Wachambuzi wengi wanasema kwamba huu unaweza kuwa ni mwanzo wa safari ya Henry kuwa head coach wa Arsenal miaka ijayo.

2C56A6A900000578-3235290-image-a-82_1442320676359

2C56A6C000000578-3235290-image-m-83_1442320682263

2C56A86A00000578-3235290-image-a-84_1442320905162

2C56A77000000578-3235290-image-a-77_1442320647642

2C56A92800000578-3235290-image-a-74_1442320544930



Comments