MOURINHO ASHIKIWA PABAYA URENO, CHELSEA YALALA 2-1 KWA PORTO ...Maccabi Tel Aviv yachapwa 2-0 na Dynamo Kyiv



MOURINHO ASHIKIWA PABAYA URENO, CHELSEA YALALA 2-1 KWA PORTO ...Maccabi Tel Aviv yachapwa 2-0 na Dynamo Kyiv

Jose Mourinho amerejea vibaya kwenye timu yake ya zamani - Porto ya Ureno baada ya Chelsea kutandikwa bao 2-1 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.

Hadi mapumziko timu hizo zilitoshana nguvu kwa sare ya 1-1 ambapo Porto walikuwa wa kwanza kufunga dakika ya 39 kupitia kwa Andre Andre huku Willian akiisawazishia Chelsea dakika ya 45.

Dakika ya 52 Porto wakafunga bao la ushindi kupitia kwa Maicon. 

Katika mchezo mwingine wa kundi G, Maccabi Tel Aviv ikiwa nyumbani ikalala 2-0 kwa  Dynamo Kyiv.

PORTO (4-1-4-1): Casillas 6; Pereira 6, Maicon 7, Marcano 6.5, Indi 6.5 ; Danilo 6; Andre 7.5 (Layun 80), Neves 7 (Evandro 78), Imbula 7.5, Brahimi 8 (Osvaldo 87); Aboubakar 7

CHELSEA (4-2-3-1): Begovic 7; Ivanovic 4.5, Zouma 5.5, Cahill 6, Azpilicueta 6; Ramires 6 (Matic 73, 5), Mikel 6 (Hazard 62, 5); Pedro 5 (Kenedy 73, 5), Fabregas 5, Willian 6.5; Costa 6
Brazilian defender Maicon                  celebrates after scoring what would be the winner for                  Porto against Chelsea at the Dragao Stadium
 Maicon wa Porto akishangilia bao la ushindi dhidi ya Chelsea kwenye uwanja wa  Dragao Stadium
 Porto's Andre Andre leaps                  after opening the scoring on Tuesday night against the                  west London giants in the 39th minute
Andre Andre akishangilia bao la kwanza
Chelsea attacking midfielder                  Willian slides after cancelling out Andre's strike with                  a free-kick on the stroke of half-time 
Kiungo mshambuliaji wa Chelsea Willian akiteleza kwa furaha baada ya kuifungia Chelsea bao la kusawazisha
Cesc Fabregas (right) and                  Diego Costa (centre) stand disappointed ahead of the                  restart after Maicon (left) clinched maximum points
Cesc Fabregas (kulia) na Diego Costa (katikati) wakiwa hoi baada ya  Maicon (kushoto) kufunga bao la pili





Comments